This post has been de-listed
It is no longer included in search results and normal feeds (front page, hot posts, subreddit posts, etc). It remains visible only via the author's post history.
habari kila mtu, naitwa bidinga nimetoka Kongo-Kinshasa (kabila yangu ni Bafuliiru) na Cameroon, lakini nilizaliwa Marekani, sijui aina nini ya Kiswahili naongea, kwa sababu najifundisha swahili mtandaoni, napata maneno kwa watu nyingi au vyanzo, yaani Duolingo, Youtube, Reddit, baba yangu (anaongea swahili (congo lahaja), na wanafunzi hivyo hudhuria chuo kikuu yangu (wanatoka tanzania, kenya (sipendi sheng naomba kujifunza kiswahili safi), uganda, etc.). Mambo moja hivyo inanihusu ni baadi ya maneno, kuwa na Kiingereza ushawishi, yaani wiki, sayansi, etc. nawezi wapi kujifunza swahili "safi" maneno, kwa sababu jana niliongea na baba yangu na nilisema "wiki" na alisema hivyo si nzuri, alisema "week" katika swahili ni "jumaa/juma" (sijui tahajia), asante sana, Please give me any corrections I had to search up some words I didn't know on google translate and I know my grammer and ngeli arent the best so please offer corrections I won't take it as rude, I love to learn. Thank you all and God bless
Subreddit
Post Details
- Posted
- 7 months ago
- Reddit URL
- View post on reddit.com
- External URL
- reddit.com/r/swahili/com...